Home »
Michezo
» #MICHEZO>>>>>ALLARDYCE AANZA KUWATIA HOFU ENGLAND NA UTEUZI WAKE WA KIKOSI.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Sam Allardyce ameteua kikosi chake ya Timu ya Taifa ya England kwa
mara ya kwanza kabisa kitakachowavaa Slovakia kesho Jumapili, na tayari
watu wengi wameonekana kutofurahishwa.
Meneja huyo ameamua kubaki na wachezaji wengi ambao walionesha
kiwango kibovu katika michuano ya Euro, na hali hiyo imewaacha watu
wengi wakijiuliza kama kweli Allardyce ataonesha utofauti wowote dhidi
ya Hodgson kwenye timu hiyo.
Baadhi ya wachezaji hao ni:
Hart, Walker, Cahill, Stones, Rose, Dier, Henderson, Lallana, Rooney, Sterling, Kane.
Bila shaka John Stones inaonekana kabisa atapata nafasi ya kuanza
katika kikosi cha kwanza baada ya kuwa na kwenye kiwango bora kabisa
msimu uliopita na kufanikiwa kijiunga na Manchester City.
Hata hivyo wengi wanajiuliza juu ya uwepo wa wachezaji kama Henderson
na Kane kutokana na kiwango chao kisichoridhisha kwenye Michuano ya
Euro.
Drinkwater ameachwa tena
Washabiki wengi wanajiuliza inakuaje tena mchezaji kama Danny Drinkwater anaachwa halafu Henderson anachukuliwa.
Ni ukweli ulio wazi kwamba msimu uliopita Drinkwater alicheza kwenye
kiwango cha hali ya juu mno bila kusahau kwenye mechi hizi za awali za
msimu huu licha ya kutokuwepo kwa pacha wake N’Golo Kante ambaye
ametimkia Chelsea.
Angalia reactions za washabiki wa England hapo chini;
Related Posts:
RONALDINHO ATIMIZA NDOTO YAKE YA KUWA MWANAMUZIKI, AACHIA SINGO YAKE.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Mmoja wa wachezaji gwiji waliowahi kutokea nchini Brazil, Ronaldinho rasmi ameingia kwenye muziki.
Ronaldinho aliyestaafu mwaka 2015, ameibuka na sing mpya aliyoipa nina la ‘Sozinho’.
Mkali huyo aliyewahi kung’… Read More
PICHA YA KUANZIA SIKU HII HAPA; AJIBU AKIWATESA WARUNDI WATATU.
Mshambuliaji wa Taifa Stars, Ibrahim
Ajibu akiwatoka walinzi wa timu ya taifa ya Burundi katika mechi ya
kirafiki kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, leo.
Ajibu ni mmoja wa wachezaji vijana wa Tanzania weny… Read More
RONALDO AMPIGA BAO LIONEL MESSI KWA KIPATO HADI SASA, NEYMAR AMUACHA BALE.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo ameongoza kwa kuwa mwanasoka mwenye kipato zaidi kwa msimu wa 2016-17 hadi sasa.
Ronaldo
tayari ameingiza kitita cha pauni milioni 75.62 na amempiga bao
mpinzani wake mkubwa… Read More
Tambwe, Mavugo kuwageuzia kibao watanzania.Fahamu zaidi hapa.
PM Kassim Majaliwa apokea taarifa ya Tume aliyounda kuchunguza kifo
cha Faru John kutoka kwa Mkemia Mkuu wa Serikali Prof. Samwel Manyele.
Taifa Stars ya Tanzania kesho Machi 28, 2017 saa 10:00 jioni inaingia
tena Uwanj… Read More
Duh..Harusi ya Messi Kuonyeshwa Dunia Nzima,Yapangw Kufanyanywa Mara Mbili,Itaanzia Argentina na Kumalizikia Hispania.Fahamu zaidi hapa.
Kwa mazingira yetu ambayo hatujazoea, ikitokea mwanamke au msichana
anaingia na mtoto uwanjani, kila mmoja atashangaa. Mshangao wenyewe
utakuwaje, kwa vyovyote mtoto atakuwa analia.
Pengine hafahamu mazingira yale. Ku… Read More
0 comments:
Post a Comment