Home »
Habari Moto
» #YALIYOJIRI>>>> Mwanafunzi wa Chuo cha IFM Apigwa Risasi ya Mguu.Fahamu zaidi hapa.
DAR: Mwanafunzi wa Chuo cha IFM apigwa risasi 3 mguuni baada ya kupigiwa
kelele za mwizi kimakosa akiwa matembezini eneo la Tabata.
Kwa sasa mwanafunzi huyo amelazwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
Related Posts:
#YALIYOJIRI>>>Naibu Spika Achafua Hali ya Hewa Bungeni Baada ya Kumwita Mbunge BWEGE.Fahamu zaidi hapa.
Naibu Spika Tulia Ackson, ambaye katika vikao vya Bunge anatakiwa
kusimamia mijadala kwenye chombo hicho cha kutunga sheria, jana alizua
kizaazaa baada ya kumuelezea mbunge wa Kilwa Kusini (CUF), Selemani Said
Bungara ku… Read More
#YALIYOJIRI>>>Vipaza Sauti Vya Bunge Vyaharibika, Bunge Lasimama kwa Dakika 30.Fahamu zaidi hapa.
Shughuli
za Bunge la Muungano leo zilisimama kwa dakika 36 kabla ya kuendelea
tena, baada ya vipasa sauti vya ukumbini kushindwa kufanya kazi.Spika
wa Bunge, Job Ndugai amelazimika kuahirisha shughuli mara baada ya
kipi… Read More
#YALIYOJIRI>>>>Bosi wa Zamani wa TRA na Wenzake Wawili Warudishwa Tena Rumande Hadi Tarehe 3 Mwezi Ujao.Fahamu zaidi hapa.
MAHAKAMA
ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo imesita kutoa uamuzi wa
kesi inayowakabili Harry Kitillya, Shose Sinare na Sioi Solomoni kwa
madai, jalada lake limeitishwa Mahakama Kuu.
Kitillya,
alikuwa… Read More
#Breaking News>>>JAMBAZI SUGU LAKAMATWA POSTA ,WAWILI WAKIMBIA..NOAH YAKAMATWA.Fahamu zaidi hapa.
MTU MMOJA ANAYE SAKIKIKA KUWA JAMBAZI AMEKAMATWA JIJINI DAR MAENEO YA
POSTA BAADA YA KUTAKA KUMTAPELI MAMA MMOJA ANAYE FANYA KAZI YA TIGO PESA
…MASHAHIDI WALIO KUWEPO ENEO HILO WANASEMA HUYO KIJANA ALIFIKA KWA DADA
… Read More
#YALIYOJIRI>>>Mwili wa Papa Wemba wawasili DRC.Fahamu zaidi hapa.
Mamia ya watu wamekusanyika leo nje ya uwanja wa ndege wa Kinshasa kuupokea mwili wa mwanamuziki Papa Wemba uliowasili nchini humo kutoka Abidjan
Mwanamuziki
huyo ambaye ametajwa kuwa mmoja ya waanzilishi wa muziki wa… Read More
0 comments:
Post a Comment