Friday, 16 September 2016

#YALIYOJIRI>>>> Mwanafunzi wa Chuo cha IFM Apigwa Risasi ya Mguu.Fahamu zaidi hapa.

DAR: Mwanafunzi wa Chuo cha IFM apigwa risasi 3 mguuni baada ya kupigiwa kelele za mwizi kimakosa akiwa matembezini eneo la Tabata.

Kwa sasa mwanafunzi huyo amelazwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

 

<<<<DOWNLOAD APPLICTION KWENYE SIMU YAKO HAPA>>>

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment