DAR: Mwanafunzi wa Chuo cha IFM apigwa risasi 3 mguuni baada ya kupigiwa kelele za mwizi kimakosa akiwa matembezini eneo la Tabata.
Kwa sasa mwanafunzi huyo amelazwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
DAR: Mwanafunzi wa Chuo cha IFM apigwa risasi 3 mguuni baada ya kupigiwa kelele za mwizi kimakosa akiwa matembezini eneo la Tabata.
0 comments:
Post a Comment