KIJANA MMOJA AMBAYE JINA LAKE HALIKUWEZA KUFAHAMIKA KWA HARAKA ,,JANA SIKU YA JUMAPILI ALIJIRUSHA TOKA KATIKA JENGO REFU LILILOKO MAENEO YA MAKUTANO YA BARABARA YA MOROGORO ROAD NA BIBI TITI .HAIKUFAHAMIKA MARA MOJA NINI SABABU ZA KUJIRUSHA KWAKE.
Monday, 5 September 2016
Home »
Habari Moto
» #YALIYOJIRI>>>HATARI…KIJANA AJIRUSHA TOKA JUU YA GHOROFA HADI CHINI NA KUPASUKA PASUKA ENEO LA MNAZI MMOJA DAR ES SALAAM.FAHAMU ZAIDI HAPA.
#YALIYOJIRI>>>HATARI…KIJANA AJIRUSHA TOKA JUU YA GHOROFA HADI CHINI NA KUPASUKA PASUKA ENEO LA MNAZI MMOJA DAR ES SALAAM.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Related Posts:
#YALIYOJIRI>>>Rais Magufuli kufanya uteuzi wa Viongozi Mbalimbali.Augustino Lyatonga Mrema ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Parole.Fahamu zaidi hapa. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwa mamlaka aliyopewa amefanya uteuzi wa viongozi na watendaji wa taasisi mbalimbali za Serikali, na pia amewapandisha vyeo maafisa wa Jeshi la Polisi Ta… Read More
#YALIYOJIRI>>>Waziri Mkuu Afungua Duka la MSD Ruangwa, Kuhudumia Hospital 524.Fahamu zaidi hapa. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amefungua duka la Bohari Kuu ya Dawa (MSD) katika Hospitali ya wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi ambalo litakuwa na uwezo wa kuhudumia hospitali 524 katika mikoa ya Lindi, Mtwara na wilaya ya… Read More
#YALIYOJIRI>>>Aliyeoongoza kidato cha 6 ni tunda la Shule ya Kata, aeleza alivyodharauliwa.Fahamu zaidi hapa. Mwanafunzi aliyeongoza katika matokeo ya kidato cha sita yaliyotangazwa jana na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Hassan Gwaay ameonesha moja kati ya tunda bora lililodhihirisha faida ya kuanzishwa kwa shule za ka… Read More
#YALIYOJIRI>>>>Mtoto aliyewekewa ‘mashine’ kwenye moyo aanza mazoezi.Fahamu zaidi hapa. Mtoto Happiness John Mkazi wa Seliani Arusha aliyefanyiwa upasuaji kwenye moyo na kupandikiziwa kifaa cha kusaidia kudhibiti mapigo ya moyo (pacemaker), ameanza mazoezi. Daktari Bingwa wa magonjwa ya moyo kwa… Read More
#YALIYOJIRI>>>>Watumishi Watatu Wasimamishwa Kazi Jeshi La Polisi.Fahamu zaidi hapa. Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira amewasimamisha kazi watumishi watatu wa Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kufanya malipo hewa, yaani kulipa posho ya chakula (Ration Allowanc… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment