Home »
Habari Moto
» #YALIYOJIRI>>>Mgogoro wa CUF Wachukua Sura Mpya..Mkurugenzi wa Uchumi na Fedha Nusura Kutekwa na Wanachama.Fahamu zaidi hapa.
Filamu ya mgogoro wa CUF sasa imeingia hatua mpya baada ya wanachama
watatu kuhojiwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kutaka kumteka
mkurugenzi wa uchumi na fedha wa chama hicho, Jorah Bashange.
Chama hicho kikuu cha upinzani visiwani Zanzibar kimekuwa na mgogoro wa
kiungozi tangu Profesa Ibrahim Lipumba ambaye alijivua uenyekiti Julai
mwaka jana, atangaze nia ya kurejea kwenye uongozi.
Katika tukio la jana linalodaiwa kutokea saa 2.30 asubuhi wakati
Bashange akitoka nyumbani kwake, limeripotiwa kituo cha polisi cha
Buguruni wilayani Ilala.
Kamanda wa Ilala ambayo kipolisi ni mkoa, Salum Hamduni aliiambia Mwananchi kuwa watuhumiwa hao wanahojiwa na polisi.
<<<<DOWNLOAD APPLICTION KWENYE SIMU YAKO HAPA>>>
Related Posts:
#YALIYOJIRI>>>>Chadema Waungana na CUF Kutomtambua Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein.Fahamu zaidi hapa.
Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetangaza rasmi kutoitambua
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), inayoongozwa na Dk Ali Mohamed
Shein.
Mbali na kutoitambua Serikali hiyo, chama hicho kimesema … Read More
#YALIYOJIRI>>>Mtoto wa marehemu, Chacha Wangwe afikishwa kortini kwa makosa ya kimtandao.Fahamu zaidi hapa.
BOB
Chacha Wangwe (24), mtoto wa mwanasiasa marehemu Chacha Wangwe,
amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za
kuchapisha taarifa za uongo katika mitandao ya kijamii.
Akisoma
kesi hiyo namba 16… Read More
#YALIYOJIRI>>>>Wabunge 53 Chadema na CUF Wajitoa TWPG Baada ya Kutoombwa Radhi na Mbunge wa CCM Aliyedai Wamepata Ubunge Kwa Kufanya Mapenzi.Fahamu zaidi hapa.
WABUNGE
wanawake 53 wa kambi ya upinzani kutoka vyama vya CUF na Chadema
wamejitoa kwenye Umoja wa Wabunge Wanawake (TWPG) baada ya kutoombwa
radhi na Mbunge la Ulanga, Godluck Mlinga (CCM) aliyesema wabunge hao
kutoka… Read More
#YALIYOJIRI>>>Spika Job Ndgai Awagomea Wabunge Waliotaka Utaratibu wa Kusaini Mara Mbili Kwa Vidole Ufutwe.Fahamu zaidi hapa.
SPIKA
wa Bunge, Job Ndugai amejibu mwongozo ulioibuliwa na wabunge bungeni wa
kutaka utaratibu wa kusaini kwa kutumia kidole mara mbili kwa siku
uondolewe, kwa kusisitiza kuwa utaratibu huo hautabadilishwa.
Majibu
… Read More
#YALIYOJIRI>>>>WAZIRI MKUU MAJALIWA AMWAKILISHA RAIS JOHN MAGUFULI KWENYE MKUTANO WA KUPAMBANA NA RUSHWA LONDON.Fahamu zaidi hapa.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akiongozwa kuingia kwenye ukumbi wa Lancaster
House, London nchini Uingereza kuhudhuria mkutano wa Wakuu wa Nchi
kuhusu mapambano dhidi ya rushwa, May 12, 2016. Majaliwa alimwakilisha… Read More
0 comments:
Post a Comment