Taarifa ya ajali ya basi la kampuni ya Hood likitokea Mbeya kwenda
Arusha likiwa linaendeshwa na Maxwell Kindole mwenye umri wa miaka 42.
Liligonga pikipiki na kisha kupinduka katika eneo la Mabungo huko Himo
Mashariki.
Katika ajali hiyo imeripotiwa kifo cha mtu mmoja na majeruhi watano.
Katika ajali hiyo imeripotiwa kifo cha mtu mmoja na majeruhi watano.
0 comments:
Post a Comment