Tuesday 4 April 2017

Hatimaye The Undertaker Asataaf Kucheza Mieleka,Aaacha Gumzo Dunia Nzima.Fahamu zaidi hapa.

Marekani.Mashabiki wa mchezo wa mieleka WWE walitokwa na machozi mwishoni mwa wiki wakati mcheza mieleka mashuhuri The Undertaker alipotangaza kustaafu kucheza mchezo huo baada ya miaka 25.
 
Katika mchezo wake wa mwisho Undertaker alipigwa na Roman Reigns na kuondoka ulingoni akiwa na rekodi ya kushindi michezo 23 na kupoteza miwili  Wrestlemania.
 
Wakati akitoka ulingoni Undertaker alifanya kitu ambacho hajawahi kufunga hadharani kwa kwenda kumkumbatia mkewe Michelle McCool baada ya mechi dhidi ya Roman Reigns
 
Akithibisha kustaafu kwake mchezo huo Undertaker aliacha katikati ya ukumbi koti lake, kofia na glovisi zake na kuamsha shangwe kwa mashabiki wake.


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment