Monday 3 April 2017

Serengeti Boys Wakaza Mbele ya Waghana.Fahamu zaidi hapa.

Serengeti Boys wamefanikiwa kulinda rekodi yao ya kutopoteza mechi nyumbani na pia kufunga angalau mabao mawili kila mechi ya nyumbani baada ya kutoka sare ya bao mbili kwa mbili dhidi ya Timu ya Vijana ya Ghana..


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment