Tazama Katuni 5 Bora Leo
Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa
Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
Related Posts:
Breaking News>>>Matokeo ya darasa la nne na kidato cha pili yatangazwa. Bofya Hapa Kuyatazama.
Baraza
la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mitihani ya upimaji
wa darasa nne na kidato cha pili iliyofanyika Novemba 22 na 23 mwaka
jana, huku idadi kubwa ya wanafunzi wakifanya vyema katika mitihani
hi… Read More
Taharuki Yazuka Mtwara Wakesha Wakinywa Uji kwa Kutekeleza Agizo la Mtoto Aliyezaliwa na Kuongea Papo Hapo.
Katika hali isiyo ya kawaida, baadhi ya wakazi wa maeneo mbalimbali
mkoani Mtwara na maeneo mengine ya mikoa ya jirani wamejikuta wakikesha
nje ya nyumba zao usiku wa kuamkia leo Januari 10, 2018, wakipika na
kunywa uji … Read More
Maporomoko ya Ardhi Yaua Watu 13 Marekani.
Watu 13 wamefariki kutokana na maporomoko ya ardhi yaliyosababishwa na
mvua kubwa kusini mwa jimbo la California, Marekani, maafisa wamesema.
Wengine 163 wamelazwa hospitali, 20 wakiwa na majeraha yanayohusiana na mvua ku… Read More
Uchaguzi Mdogo wa Marudio Kufanyika Majimbo Matatu Mrithi wa Nyalandu Kujulikana Leo.
Warithi wa Lazaro Nyalandu, Leonidas Gama na Onesmo Ole Nangole
wanatarajiwa kupatikana leo katika uchaguzi mdogo wa marudio wa majimbo
matatu.
Majimbo hayo ni Singida Kaskazini (Singida), Songea Mjini (Ruvuma) na
Longi… Read More
Kauli ya Tundu Lissu Baada ya Lowassa Kwenda Kuonana na Rais Magufuli Ikulu.
Baada
ya Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa kumtembelea Rais Magufuli Ikulu
Leo January 9, 2018 Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ambaye yupo
nchini Ubelgiji kwa ajili ya matibabu ametoa mtazamo wake kuhusu s… Read More
0 comments:
Post a Comment