Wednesday 26 October 2016

#MICHEZO>>>>TAMBWE Atokea Benchi Na Kupiga Mbili, Yanga Yaua 4-0.Fahamu zaidi hapa.

Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe akishangilia baada ya kutokea benchi na kufunga mabao mawili, Yanga ikishinda 4-0 dhidi ya JKT Ruvu jioni ya leo Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara
Wafungaji wa mabao mengine ya Yanga leo, Obrey Chirwa (kulia) na Simon Msuva (kushoto)

0 comments:

Post a Comment