Monday 31 October 2016

#MICHEZO>>>>YANGA YATUA MBEYA TAYARI KWA AJILI YA MECHI DHIDI YA CITY, MASHABIKI WAWAPA MAPOKEZI YA HESHIMA.FAHAMU ZAIDI HAPA.

 
Yanga wametua mjini Mbeya wakiwa tayari kwa ajili ya mechi yao ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Mbeya City, keshokutwa.


Mashabiki na wanachama wa Yanga walijitokeza kwenye Uwanja wa ndege mjini humo kuwapokea vijana wao huku wakiwaonyesha heshima kubwa.
 Yanga inatarajia kufanya mazoezi leo chini ya Kocha Hans van Der Pluijm ili kufanya maandalizi ya mwisho kabla ya mechi hiyo ya Jumatano.

0 comments:

Post a Comment