Tuesday 3 May 2016

#MICHEZO>>>> CHELSEA YAIPA UBINGWA LEICESTER CITY ..VURUGU ZATAWALA MCHEZONI.Fahamu zaidi hapa.

Leicester City ndiyo mabingwa wapya wa England.
Leicester City wanapokea kombe hilo kutoka kwa Chelsea ambao msimu huu, wamechemsha.
 
Lakini Chelsea, ndiyo waliowapa Leicester ubingwa huo baada ya sare ya mabao 2-2 dhidi ya Tottenham waliokuwa wakiuwania kwa nguvu zote.
 
Sare hiyo kwenye Uwanja wa Stamford Bridge, unaifanya Spurs kubaki na pointi 70 huku Leicester wakiwa na 77 ambazo hakuna timu inayoweza kuzifikia.

CHELSEA: Begovic, Ivanovic, Cahill, Terry, Azpilicueta, Mikel, Matic (Oscar 78), Willian, Fabregas, Pedro (Hazard), Costa
 
Subs not used: Baba, Traore, Kenedy, Amelia, Loftus-Cheek
 
Booked: Ivanovic, Mikel, Willian
 
Goals: Cahill 58, Hazard 83
 
Manager: Guus Hiddink
 
TOTTENHAM: Lloris, Walker, Alderweireld (Chadli 90), Vertonghen, Rose (Davies 82), Dier, Dembele, Lamela, Eriksen, Son (Mason 65), Kane
 
Subs not used: Vorm, N’Jie, Wimmer, Carroll
 
Booked: Walker, Vertonghen, Rose, Dier, Dembele, Mason, Eriksen, Lamela, Kane
 
Goals: Kane 35, Son 44
 
Manager: Mauricio Pochettino
 
Referee: Mark Clattenburg
 
Attendance: 41,545

0 comments:

Post a Comment