Manager wa Manchester United Jose Mourinho
ameamua kuonyesha picha ya ofisi yake mpya huko Carrington baada ya
kupost picha hiyo kwenye account yake ya Instagram
Ni chumba chenye madirisha sawa na ukuta
unaoonyesha kiwanja chao cha mazoezi, Mourinho akiwa amekaa kwenye
baiskeli ya kuzuka hapo hapo huku akiangalia TV inayoonyesha kapteni
wake mpya wa timu hiyo Wayne Rooney. Kwa pembeni unaweza kuona pia vyeti
vyake alivyopata katika Guinness World Records ambazo zote alizipata
akiwa bado yuko Chelsea.
0 comments:
Post a Comment