Licha ya Chege Chigunda kufanya nyimbo nyingi kali lakini hakuwa na
nyimbo ambayo video yake iliweza kufikisha views milioni 1 YouTube.
Lakni video yake mpya ya wimbo ‘Waache Waoane’ aliyomshirikisha Diamond
Platnumz imekuwa ni video yake ya kwanza kufikisha views milioni 1 ndani
ya wiki 4.
Hii ni dalili nzuri kwa muziki wa
Tanzania kwani wasanii wengi wa Afrika Mashariki wameshindwa kufikia
hatua hii ambayo wasanii wa Tanzania wanaifikia.
Pia hivi karibuni video ya wimbo ‘Inde’
ya msanii mkongwe wa muziki Dully Skyes iliweza kufikisha views milioni 1
ndani wiki mbali.
0 comments:
Post a Comment