Home »
Michezo
» #MICHEZO>>>BAADA YA RIHANNA, SASA KWA RONALDO AMEBAKI TAYLOR SWIFT TU!..FAHAMU ZAIDI HAPA.
Ronaldo & Rihanna
Nyota
wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo anajulikana na anatajwa kuwa ndiye
mwanamichezo ambaye ana wafuasi wengi katika mitandao ya kijamii lakini
tofauti na hapo katika fani nyingine pia anawafunika akiwa amesaliwa na
mtu mmoja tu.
Mreno huyo ambaye anajulikana kwa kupenda kupendeza
ana jumla ya wafuasi milioni 238 katika kurasa zake kwenye mitandao ya
Facebook, Twitter na Instagram. staa pekee ambaye hajamfikia ni
mwanamuziki Taylor Swift ambaye ana wafuasi milioni 246.
Takwimu hizo ni kwa mujibu wa Taasisi ya Hispania kutoka jinni la Madridi inayojulikana kwa jina la Apple Tree Communications.
Ronaldo
amewazidi mastaa wengi wa fani nyingine wakiwemo Katy Perry, Selena
Gomez na Rihanna ambao wana wafuasi milioni 219, milioni 205 na milioni
190.
Utafiti huo unaonyesha kuwa asilimia kubwa ya wafuasi ni wanawake wenye mri wa kati hasa kutoka Marekani.
Taylor Swift & Ronaldo
Februari,
mwaka huu Ronaldo ndipo alipoanza kusika rekodi ya kuwa mwanamichezo
aliyefikisha wafuasi wengi katika mitandao ya kijamii kwa kusikisha
milioni 200, baada ya hapo amekuwa akiongeza idadi.
Kwa sasa
Ronaldo anawazidi wanamichezo wengine mastaa akiwemo mpinzani wake
kutoka Barcelona, Lionel Messi na wachezaji nyota wa kikapu, LeBron
James, Michael Jordan, Kobe Bryant, Kevin Durant na Steph Curry.
Related Posts:
#MICHEZO>>>>FIFA YATANGAZA MFUMO MPYA WA USAJILI KUTUMIA TMS, MAMENEJA WAELEZWA CHA KUFANYA.FAHAMU ZAIDI HAPA.
MWENYEKITI WA KAMATI YA USAJILI YA SIMBA, ZACHARIA HANS POPPE.
Shirikisho
la Soka la Kimataifa(Fifa), limesambaza waraka mpya kwa wanachama wake,
likiwamo Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ukisema mameneja wote… Read More
#MICHEZO>>>>ARBELOA KUTOKA MADRID AREJA LONDON, SAFARI HII AJIUNGA NA WEST HAM UNITED.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Beki wa Real Madrid, Alvaro Arbeloa sasa rasmi amejiunga na West Ham United inayoshiriki Ligi Kuu England.
Ingawa
dau lilikuwa halijawekwa wazi, Arbeloa ambaye aliwahi kuishi London
wakati akiichezea Chelsea, ameji… Read More
#MICHEZO>>>>HATIMAYE DIDA AMPUMZISHA BABA YAKE MZAZI KWAO KILIMANJARO.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Hatimaye kipa namba moja wa Yanga Deogratius Munishi ‘Dida’, amefanikiwa kumsitiri baba yake mzazi.
Dida
alifiwa na baba yake ambaye aliugua muda mrefu. Jana wadau, ndugu,
jamaa na marafiki upande wa mkoa wa Dar… Read More
#MICHEZO>>>>TFF YAMTANGAZA KOCHA MKUU MPYA WA KILIMANJARO QUEENS.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Shirikisho
la Soka Tanzania (TFF) limemteua Sebastian Nkoma kuwa Kocha Mkuu wa
timu ya soka taifa ya wanawake wa Tanzania Bara maarufu kwa jina la
Kilimanjaro Queens ambayo kwa mara ya kwanza inakwenda kushiriki
mash… Read More
#MICHEZO>>>>NIGEL DE JONG AAMUA KWENDA UTURUKI, AJIUNGA NA GALATASARAY.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Kiungo mkongwe kutoka Uholanzi, Nigel De Jong ametua Galatasaray ya Uturuki hadi mwaka 2018.
… Read More
0 comments:
Post a Comment