Kumekuwa na ongezeko kubwa la hoteli kufungwa nchini huku nyingine
zikibadilishwa matumizi na kuwa vyuo, hostel au matumizi mengine.
Hali imeendelea kuwa mbaya, hapa inaonekna kuwa Hoteli ya nyota
tatu ya Snow Crest iliyopo jijini Arusha itapigwa mnada 23/9/2016 ikiwa
ni baada ya kesi iliyoendeshwa kati ya Bodi ya Wadhamini ya NSSF, Hoteli
ya Snow Crest na Wildlife Safaris.
Hoteli ya nyota tatu ya Snow Crest iliyopo pembezoni mwa barabara ya Arusha- Moshi, Ngulelo Arusha.
Mbali na hoteli ya Snow Crest, limeonekana tangazo lingine la
kukaribisha wateja kuja kununua hoteli ya kifahari ya Mt. Meru ambayo
nayo ipo mkoani Arusha.
Hoteli ya nyota nne ya Mt. Meru iliyopo jijini Arusha pembezoni mwa barabara ya Arusha Moshi, Sanawari Arusha.
0 comments:
Post a Comment