Monday 3 April 2017

Shamsa Ford Acharuka..Kumsomea AL-Badil Aliyeiba Account yake ya Instagram.Fahamu zaidi hapa.

Baada ya Shamsa Ford kuibiwa akaunti yake ya instagram
“Ikishindikana kabisa akaunti yangu kurudi kwa yule ambaye amenifanyia huo ujinga nitamshtakia Mwenyezi Mungu, mimi ni mtoto wa kiislamu, nitasoma Al-badil ili Mwenyezi Mungu anijibu kwa hili”- Shamsa Ford
Mshauri kwa neno moja.


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment