Msanii Lina alikuwa akihojiwa FNL ya EATV na alipoulizwa swali ni kwa nini ametupia picha akiwa amevaa hivyo alisema sio yeye wa kwanza kufanya hivyo kuna watu kibao wanafanya na watu wanawachukulia poa
Alipoambiwa sio utamaduni wetu alisema waafrika asili yao ni kuvaa majani na kujifunika sehemu ya mbele tu kwa hiyo hata kuvaa nguo full ni utamaduni wa kizungu
Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa
PICHA YA KUANZIA SIKU HII HAPA; AJIBU AKIWATESA WARUNDI WATATU.
Mshambuliaji wa Taifa Stars, Ibrahim
Ajibu akiwatoka walinzi wa timu ya taifa ya Burundi katika mechi ya
kirafiki kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, leo.
Ajibu ni mmoja wa wachezaji vijana wa Tanzania weny…Read More
0 comments:
Post a Comment