Wednesday, 10 May 2017

MWIMBAJI Kaligraph Jones Wakenya Afuata Nyayo za Ray Kigosi Kwa Kujichubua na Kusingizia Maji.

Jamaa kajichubua siku hizi ,anahojiwa eti anasingizia kwamba siku hizi anaoga vizuri, anakunywa maji masafi kwa wingi, anadrive gari zuri ,ana maisha mazuri kwa hiyo weusi umemkimbia wenyewe

Kama unakumbuka Ray naye alidai kwamba anakunywa maji mengi na anashinda kwenye AC ofisini na garini ndio maana akawa mweupe

Sasa sijui kina Cheadle, Hounsou, Mario ballotel, Bacary Sagna wasemeje sasa? kwamba wao ni weusi dark kweli hawana hela na magari au?

ANGALIA VIDEO:


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa 

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment