Thursday 16 July 2015

#YALIYOJIRI>> Blogger Mange Kimambi ahojiwa na Jeshi la Polisi jijini Dar.




Blogger Mange Kimambi wa u-turn Blog ametiwa mbaroni na Jeshi la Polisi leo jijini Dar es Salaam.

Polisi wamemkamata wakati ameenda kuchukua fomu ya kutia nia kuomba ridhaa ya kugombea ubunge kwenye moja ya majimbo ya jiji la Dar.

Mpaka sasa yupo mikononi mwa Polisi akihojiwa kuhusu mienendo ya uendeshaji wa blogu yake na mitandao mingine ya kijamii.
    Chanzo 
                    jamiiforums.

0 comments:

Post a Comment