Saturday 30 April 2016

HATIMAYE JOTI AANZISHA TV YAKE YA VICHEKESHO…TAZAMA KICHEKESHO ALICHOANZA NACHO AKIWA KATIKA NYUMBA YA WEMA SEPETU.Fahamu zaidi hapa.

Wasanii wa vichekesho nchini wameanza kuamka na kutambua kuwa Youtube ni mtandao unaoweza kuwapa mkwanja mzuri kama wakiutumia ipasavyo. Joti ameamua kuja na series za vituko vyake ambavyo anaweka Youtube kwaajili ya kuvunja mbavu mashabiki wake. Check hiyo video ya kwanza.


0 comments:

Post a Comment