Saturday 30 April 2016

#YALIYOJIRI>>>Watu kadhaa wamenusurika baada ya ndege ya Shirika la Ndege la Auric Air kupata ajali katika Uwanja wa Bukoba leo.Fahamu zaidi hapa.

Watu kadhaa wamenusurika  kufa baada ya ndege ya Shirika la Ndege la Auric Air waliyokuwa wakisafiria kupata ajali katika Uwanja wa Ndege wa Manispaa ya Bukoba ilipokuwa ikitua na rubani kupoteza uelekeo  kama inavyo onekana pichani.

Ndege hiyo ilikuwa ikisafiri kutoka Jijini Mwanza ,tukio limetokea majira ya saa nne asuhuhi ya leo Jumamosi April 30,2016.

0 comments:

Post a Comment