Monday 19 June 2017

NAPE Nnauye Awatetea Wapinzani...Adai Wasibezwe Sakata la Mchanga.

Nape Nnauye amepinga vitendo vinavyofanywa na CCM vya kuwabagua watu wa Vyama vya Upinzani na kuwaona ni Wasaliti katika hili swala la Madini na Mchanga unaoshikiliwa. Hili swala halifai na halitatufikisha popote kama taifa. Ni wakati wa kwenda pamoja kwenye hii vita ili tufanikiwe bila kudharau mawazo ya mtu yoyote.

Hii ni vita yetu sote, Tushikamane, hata kama wana hoja, wajibiwe kwa hioja sio matusi. Ameshauri Serikali iangalie kwa makini hili swala ili kuondoa Mashaka.

Amempongeza rais Magufuli kwa kuzuia Mchanga.

Amekosoa pia sela za mapato. nasema mipango yote inalenga kubana na kukamua walipa Kodi.

.
KUPATA HIZI STORI DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL KUTOKA PLAY STORE KWA KUBONYEZA LINK YA BLUE KWENYE BIO YANGU....

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment