Sunday 25 June 2017

Picha: Jux ahitimu Chuo, China.

Msanii wa Bongo Fleva, Jux ameachia picha mtandaoni zikimuonyesha akiwa katika mafahali kitu ambacho kinaashiria kuwa amehitumu Chuo.

Muimbaji huyo wa RnB kwa kipindi kirefu amekuwa akidai anasoma nchini China lakini watu walikuwa wakihoji kwa nini hajapost hata picha akiwa Chuo. Sasa leo hii Jux amevunja ukimya huo kwa kuachia hizi picha tano na kuandika maneno mawili tu, ‘Finally done’.
Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa
                       Facebook page like hapa>>>Bonyeza Hapa
                       Jiunge na group la whatsapp>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment