Waziri
Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa leo, Bungeni Mjini Dodoma amewataka wabunge
wa upinzani ambao wamesusia vikao vya Bunge tangu Mei 30 kuingia Bungeni
na kuacha kususia vikao vya Bunge kwani hakuna tija kwa Taifa.
Mhe. Majaliwa ameyasema hayo alipokuwa akitoa hutuba ya kuhitimisha mkutano wa tatu wa Bunge la kumi na moja.
“Kitendo
cha baadhi ya waheshimiwa...