Thursday, 30 June 2016

#YALIYOJIRI>>>>>Waziri Mkuu awataka wabunge wa upinzani kurejea Bungeni.Fahamu zaidi hapa.

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa leo, Bungeni Mjini Dodoma amewataka wabunge wa upinzani ambao wamesusia vikao vya Bunge tangu Mei 30 kuingia Bungeni na kuacha kususia vikao vya Bunge kwani hakuna tija kwa Taifa. Mhe. Majaliwa ameyasema hayo alipokuwa akitoa hutuba ya kuhitimisha mkutano wa tatu wa Bunge la kumi na moja. “Kitendo cha baadhi ya waheshimiwa...

Sunday, 26 June 2016

Angalia Video mpya ya MR. BLUE FT. ALI KIBA inayoitwa "MBOGA SABA". Hapa hapa.

ANGALIA NEW VIDEO HAPA...

Diamond Platnumz akosa tena Tuzo ya BET…Huyu ndie Mshindi wa Tuzo hii.Fahamu zaidi hapa.

Tuzo za BET katika kipengele cha Best Internation Act-Africa zimeshatolewa tayari na tuzo hii imeenda kwa Black Coffee. Katika Tuzo hii Black Coffee alikuwa akishindina vikali na wababe wa Muziki wa Afika kwa sasa akiwemoDiamond Platnumz, Wizkid, Yemi Alade na Cassper Nyovest kutoka nchini Afrika ya kusini. HUYU NDIE BLACK COFFEE Katika Mtandao wa Instagram wa BET...

Breaking News>>>>Rais Magufuli Afanya uteuzi wa Wakuu wa Wilaya na Afanya Mabadiliko Madogo ya Wakuu wa Mikoa.Fahamu zaidi hapa.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 26 Juni, 2016 amefanya mabadiliko madogo katika safu ya wakuu wa mikoa na amewateua wakuu wa wilaya 139. Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi amesema katika mabadiliko hayo Rais Magufuli amemteua aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Sengerema Bi. Zainab R. Telack kuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga. Bi....

#MICHEZO>>>KUELEKEA MECHI NA TP MAZEMBE,WAKONGWE WAIPA YANGA MBINU.Fahamu zaidi hapa.

WACHEZAJI wa zamani wa Yanga na Simba wameitaka Yanga kutobweteka katika mchezo ujao wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya TP Mazembe na badala yake watulie na kutumia vyema uwanja wa nyumbani kupata matokeo mazuri. Wakizungumza kwa nyakati tofauti , wachezaji hao walisema Yanga ilionesha kandanda nzuri katika mchezo dhidi ya Mo Bejaia isipokuwa safu ya ushambuliaji...

Saturday, 25 June 2016

#YALIYOJIRI>>>Joyce Kiria Super apata ajali.Fahamu zaidi hapa.

Haya ndoyo aliyoyasema Joyce Kiria Supe "Jamani Huku tulikopatia ajali ni mbaliiiii, sanaaaaa, ni kijiji chenye ziwa Tanganyika, ng'ambo ni nchi ya Congo, bado tuko huku guyz, ila tunaimani tutafanikiwa tuu kutoka... Leo jmosi kwa wadau wangu wa Mbeya hatutaweza kukutana kwenye Mwanamke Piga Kazi pale Paradise Inn Hotel kama tulivyotangaza awali.... Tuombe uzima tukutane...

#MICHEZO>>>>Euro2016: Poland yailaza Switzerland.Fahamu zaidi hapa.

 Lewandowski    Poland itakutana na Croatia ama Portugal katika robo fainali ya michuano ya Euro2016 baada ya kuishinda Switzerland kwa Penalti. Jakub Blaszczykowski aliiweka mbele Switzerland kabla ya Xherdan Shaqiri kusawazisha kupitia bao zuri.  Mashabiki wa Poland    ...

#YALIYOJIRI>>>>Mafuriko yawaua watu 20 Marekani.Fahamu zaidi hapa.

Mafuriko Marekani  Zaidi ya watu 20 wamefariki kutokana na mafuriko makubwa yaliyokumba jimbo la magharibi la Virginia. Gavana wa jimbo hilo amesema mafuriko hayo yamesababisha hasara kubwa huku majumba karibu elfu 60 yakikatiziwa umeme. Imebidi baadhi ya watu kuokolewa ,kutoka mapaa ya majumba walikotorokea mafuriko hayo. Kinaya ni kuwa upande mwengine wa nchi...

#MICHEZO>>>Croatia yafa Kwa counter attack moja ya dakika za mwishon ndan ya extra time.Fahamu zaidi hapa.

 Ricardo Quaresma akifunga goli kwa kichwa aliloshinda dakika za niongeza. Renato Sanches,miaka mwenye umri wa miaka 18 ambae anawindwa na Bayern Munich kukubali kutumià pesa ya kuweka rekodi ya usajili kwa kinda huyu,haikuwa jambo,dogo kufunga goli...Sub yake na Ricardo Quaresma imejibu,tena lala salama. Croatia lazima wajilaumu,wametengeneza nafasi nyingi mno...

#Breaking News>>>>Orodha Ya Majina Ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Na Kidato Cha Tano Na Vyuo Vya Ufundi Kwa Mwaka 2016.Fahamu zaidi hapa.

OR-TAMISEMI inawatangazia majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi kwa mwaka 2016.  Wanafunzi waliochaguliwa ni kutoka shule za Serikali na zisizo za Serikali. Jumla ya wanafunzi 65,720 wakiwemo wasichana 29,457 na wavulana 36,263 wamechaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi.  Kati ya wanafunzi waliochaguliwa...

#YALIYOJIRI>>>Serikali Yasitisha Tamko la Utoaji wa Chakula Muhimbili.Fahamu zaidi hapa.

Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto , imesitisha tamko la utoaji wa vyakula kwa wagonjwa watakaolazwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili ili kupisha utafiti wa kina kuhusu huduma hiyo ili kuweza kutoa kilicho bora kwa watanzania. Akizungumza hayo leo jijini Dar es salaam Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia,...