Home »
Michezo
» #MICHEZO>>>>Huu ndio usajili mpya wa Simba SC katika safu ya uongozi.Fahamu zaidi Hapa.
Wakati timu mbalimbali zinazoshiriki katika ligi kuu ya Tanzania vikiwa
vinajiandaa na kujiimarisha katika usajili wa wachezaji mbalimbali
kwenye vikosi vyao – klabu ya Simba imeripotiwa kufanya usajili
mwingine, lakini safari hii usajili wao ni kwenye safu ya uongozi wa
timu yao.
Taarifa za ndani kutoka katika klabu ya Simba zinasema kwamba, Rais wa
klabu hiyo Evans Aveva amemteua aliyekuwa mratibu na meneja wa klabu ya
Azam FC, Bwana Patrick Kahemele kuwa katibu mkuu wa Simba.
Mtandao huu ulimtafuta Patrick Kahemele kuzungumzia juu ya uteuzi wake wa kushikilia nyadhifa hiyo ndani ya klabu ya Simba: “Sina hiyo taarifa mpaka sasa, sifahamu lolote na ndio maana siwezi kuzungumzia jambo hilo,” alisema Kahemele.
Taarifa ambazo mtandao imezipata zinasema Uteuzi wa Kahemele
unatarajiwa kutangazwa hivi karibuni na Aveva baada ya taratibu zote
kukamilika.
Related Posts:
#MICHEZO>>>YANGA IMEVURUGWA, NAFASI YA UBINGWA INAKWENDA INAPOTEA TARATIBU TENA MAPEMA KABISA.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Ukiangalia
haraka haraka unaweza kuona kama kila kitu kinakwenda kawaida kabisa.
Lakini kikosi cha Yanga, kinakwenda kinapotea nafasi ya kubeba ubingwa.
Taratibu, Yanga inakwenda inapoteza mwelekeo kutokana na mgogoro… Read More
#MICHEZO>>>KICHUYA NDIYE HATARI ZAIDI LIGI KUU BARA, AWAPOTEZA MAVUGO, TAMBWE, NGOMA.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Baada ya kucheza mechi nane, Shiza Kichuya hadi sasa ndiye mshambuliaji hatari zaidi katika Ligi Kuu Bara.
Kichuya ambaye amejiunga na Simba msimu huu akitokea Mtibwa Sugar, ameishapachika mabao sita.
Mabao hayo yana… Read More
#MICHEZO>>>>POGBA APIGA BONGE LA BAO UFARANSA IKIILAZA UHOLANZI BAO 1-0 KUFUZU KOMBE LA DUNIA.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Holland (4-3-3): Stekelenburg,
Karsdorp, Bruma, van Dijk, Blind, Strootman, Wijnaldum (Dost 61), Promes
(Depay 16), Morishige (Willems 83), Klaassen, Janssen.
Subs not used: Zoet, Veltman, de Vrij, Kongolo, Clasie,… Read More
#MICHEZO>>>>BAADA YA KUFUNGA BAO CHIRWA AAMINI ATAENDELEA KUFANYA VIZURI.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Baada ya kuziona nyavu kwa kuifungia Yanga bao, Obey Chirwa amesema anaamini ataendelea kufanya vizuri.
Chirwa
raia wa Zambia amekuwa katika wakati mgumu hadi alipofunga bao wakati
Yanga ikiivaa Mtibwa Sugar na kuitwa… Read More
#MICHEZO>>>>Mbio Za Kilimanjaro Marathon 2017 Zazinduliwa Dar Es Salaam.....Kufanyika Februari 26, 2017.Fahamu zaidi hapa.
Mbio
za Kilimanjaro Premium Lager Marathon 2017 ambazo ni za 15 tangu
Kuanzishwa kwake, zimezinduliwa rasmi leo jijini Dar es Salaam katika
mkutano na wanahabari, wadhamini na Chama Cha Riadha Tanzania.
“Tumeon… Read More
0 comments:
Post a Comment