Vanessa Mdee ni msanii pekee wa Tanzania aliyechaguliwa kuwania Tuzo na Nigeria, Nigerian Entertainment Awards 2016 kwenye kipengele cha Msanii Bora wa kike wa Afrika/ Nje ya Nigeria ‘African Female Artist (Non Nigerian / Africa)’
Vanessa atachuana na wasanii wengine kama Efya (GH), Lira (SA), MZ Vee (GH), Sheebah Ndiwanjawulo (UG), Adiouza (SN), Victoria Kimani (KQ), Knowless Butera (RW).Sunday, 19 June 2016
Home »
Burudani
» Vanessa atachuana na wasanii wengine kama Efya (GH), Lira (SA), MZ Vee (GH), Sheebah Ndiwanjawulo (UG), Adiouza (SN), Victoria Kimani (KQ), Knowless Butera (RW).Fahamu zaidi hapa.
Vanessa atachuana na wasanii wengine kama Efya (GH), Lira (SA), MZ Vee (GH), Sheebah Ndiwanjawulo (UG), Adiouza (SN), Victoria Kimani (KQ), Knowless Butera (RW).Fahamu zaidi hapa.
Related Posts:
Picha : Hali ya mwanamuziki Chid Benz yazidi kuwa mbaya.Fahamu zaidi hapa. Watu wengi walionyesha kusikitishwa baada ya habari kuenea kuwa mwanamuziki Rashid Mkwiro maarufu Chid Benz ametoroka kwenye nyumba ya matibabu (Sober house) alipokuwa akipatiwa matibabu kutokana na kuathiriwa na matumi… Read More
VIDEO:Mashabiki Wadai Fedha zao Baada ya Ali Kiba Kushindwa Kufanya Show Dodoma.Fahamu zaidi hapa. Disemba 25, ikiwa ni sikukuu ya Krismasi mashabiki wa mwanamuziki Ali Kiba walibaki wakiwa wamepigwa butwaa bila kuona mtu jukwaani huku muda ukiyoyoma katika tamasha la muziki ambalo Ali Kiba alitakiwa kutumbuiza siku h… Read More
WCB Watembelewa na Waziri wa Mambo ya Ndani.Fahamu zaidi hapa. Katika kile kinachoonekana viongozi wa serikali kuvutiwa na jinsi Diamond na lebel yake WCB wanavyoibadilisha tasnia ya muziki wa Tanzania kuwa fursa ya kibiashara na kazi rasmi, Mh. Waziri wa wizara mambo ya ndani, Mwi… Read More
Darasa aiteka ILALA DAR baada ya kufanya show mchana wa leo.Fahamu zaidi hapa. DARASA AISIMAMISHA ILALA KWA SHOO KALI MWANAMUZIKI wa Hip Hop anayefanya poa kwa sasa hapa Bongo, Shariff Thabeet ‘Darassa’, leo amefanikiwa kuisimamisha Ilala alipokutana na mashabiki wake kabla ya Jumamosi hii ha… Read More
HAWA NDO WASANII WA BONGO WALIO POTEZWA NA MADAWA YA KULEYVA.FAHAMU ZAIDI HAPA. MDADA ALIYE JIINGIZA KATIKA MADAWA YA KULEVYA NA KUPELEKEA KUHARIBU NDOTO ZAKE ZOTE KIMUZIKI NA MAISHA KWA UJUMLA CHIDY BENZ NI MSANII WA HIP-HOP ALIYE TOKEA LUPENDWA SANA HAPA TANZANIA …SASA KAJIINGIZA KATIKA MADAWA Y… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment