Home »
Habari Moto
» #YALIYOJIRI>>>Marekani ni sababu kubwa ya Uingereza kujitoa umoja wa ulaya.Fahamu zaidi hapa.
Janet Yellen
Mkuu wa kitengo cha shirikisho la
uhifadhi nchini Marekani ,Janet Yellen, ametupilia mbali hoja ya
Marekani kuingia kwenye kipindi cha mpito na kuyumba kwa uchumi wake
endapo Uingereza itajiondoa katika umoja wa ulaya.
Wakati akijibu
maswali kutoka katika kamati ya Senate Yellen amesema kipindi cha mpito
na kuyumba kwa uchumi wa nchi yake hakutokani ama haitakuwa chanzo cha
kura hiyo, hakuna ajuaye nini kitatokea.
Ameeleza imani yake kwa
wawekezaji kwamba watafanya maamuzi sahihi na kuamua kwa busara katika
masoko ya fedha, ambako italeta taswira bei shirikishi na viwango vya
juu vya riba kwa wakopaji walio wengi.
Chanzo :BBC SWAHILI.
Related Posts:
Habari Katika Magazeti ya siku ya Leo Jumapili ya Septemba 4 yako hapa.
… Read More
#YALIYOJIRI>>>>DKT International Tanzania Yazindua "Trust Community Maternity Homes".Fahamu zaidi hapa.
Dar es salaam, Tanzania, Shirika lisilo la kiserikali DKT International
Tanzania limezindua mfano wa Kliniki mpya ziitwazo “Trust community
maternity homes kwa ajili ya wananchi wa kipato cha kawaida
zinazoendeshwa… Read More
#YALIYOJIRI>>>>CUF Wamjibu Rais Magufuli, Wadai Maalim Seif Hawezi Kubembeleza Haki yake ya Kikatiba.Fahamu zaidi hapa.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Imetolewa leo Tarehe 4/9/2016
MWENYEKITI WA CCM, RAIS JOHN MAGUFULI AACHE KUTUMIA MAMLAKA YAKE
VIBAYA AHESHIMU MISINGI YA HAKI,DEMOKRASIA, KATIBA NA SHERIA ZA NCHI
YETU
Waheshimiwa … Read More
#YALIYOJIRI>>>Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Awasili Dodoma Kwa Ajili Ya Bunge.Fahamu zaidi hapa.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Jordan
Lugimbana baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma Septemba
4, 2016 kwa ajili ya vikao vya Bunge vinavyotarajiwa kuanza Sep… Read More
#YALIYOJIRI>>>>Rais Magufuli Azungumzia Tukio la Maalim Seif kukataa mkono wa Rais Shein.Fahamu zaidi hapa.
Rais John Magufuli
amemshangaa Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein kwa kuidhinisha fedha
za matibabu ya mpinzani wake wa kisiasa, Maalim Seif Sharif Hamad
wakati alikataa kumpa mkono wa salamu walipokutana kwenye maz… Read More
0 comments:
Post a Comment