Home »
Habari Moto
» #YALIYOJIRI>>>Kauli ya TCRA katika mchakato endelevu wa kuzima simu feki.Fahamu zaidi hapa.
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Innocent Mungy
amesema kuwa mtambo wa kuzima simu bandia unaendelea na kazi kuhakikisha
kuwa hata simu ambazo hazikuwa hewani zitakapowashwa hazitafanya.
Alisema kuwa simu feki ambazo hazikuwa hewani usiku wa kuamkia juzi
zitakapowasha hazitafanya kazi kwa kuwa mtambo wa kuzima Imei bandia
unaendelea kuhakiki simu hizo.
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Innocent Mungy
amesema jana kuwa mtambo wa kuzima simu bandia unaendelea na kazi
kuhakikisha kuwa hata simu ambazo hazikuwa hewani zitakapowashwa
hazitafanya.
“Kazi ya kuzima simu hizo ilianza usiku kumkia juzi saa
sita usiku na kila kampuni ya mtandao wa simu ilipaswa kuzima simu za
wateja wake ambazo ni feki na kazi ya mtambo ni kuhakikisha simu
iliyozimwa inapowekewa kadi ya mtandao mwingine haifanyi kazi na
kuhakikisha simu zote feki zitakazoingia nchini hazifanyi kazi,” amesema Mungy.
Baadhi ya wananchi waliozimiwa simu wameilalamikia Serikali kwa
kuwasababishia hasara kwa madai ya kutokuwa makini katika kudhibiti
uingizwaji wa bidhaa feki.
Pendo Mpomelo, mkazi wa Kimara jijini Dar es Salaam alisema simu yake ilikosa mawasiliano kuanzia saa saba usiku
Source: Mwananchi
Related Posts:
Soma Nafasi za Kazi Zilizotangazwa Siku ya Leo.
Bonyeza Link Zifuatazo Kusoma zaidi na Kuapply
Job Opportunity at Save The Children, Finance Assistant
Job Opportunity at VSO Mtwara, Volunteer
Job Opportunities at MHS Massana Hospital
Job Opportunity at Mtibwa Sugar … Read More
SAKATA la Vyeti Feki: Watusmishi 6 Wafungwa Jela, Zahati 2 Zafungwa kwa Kukosa Watumishi Maana Wote Walifoji Vyeti.
Uamuzi wa Serikali wa kuwafukuza kazi watumishi wanaodaiwa kughushi
vyeti, umezidi kuchukua sura mpya, baada ya watumishi sita wa
Halmashauri ya Kilwa mkoani Lindi kufungwa jela mwaka mmoja kila mmoja
kwa kosa la … Read More
GARI LA MBUNGE MH SEIF GULAMALI LAPATA JALI MBAYA SOMA HABARI.
Gari la Mbunge wa Manonga Igunga, MH Seif Gulamali. Limepata ajali
maeneo ya Ibologero likiwa na dareva wake pamoja na kijana mwingne,
wakati wakirudi toka Mwanza walikompeleka mbuge huyo na kumwacha.
Wakati dereva… Read More
#YALIYOJIRI HIVI PUNDE AJALI MBAYA YATOKEA ARUSHA,WANAFUNZI NA WALIMU WAPOTEZA MAISHA
Wanafunzi zaidi ya 20 wapoteza maisha huko Arusha, kufuatia ajali ya gari wakati wakielekea Karatu katika kufanya mitihani.
Kwa
mujibu wa taarifa ambazo MsindiForums imezipata muda huu inaeleza
kuwa, ajali … Read More
SIRI ya Marekani Kufanya Njama za Kutaka Kumuua Rais wa Korea Kaskazini Zavuja.
Maajenti wa Marekani na Korea Kusini wanapanga njama ya kumuua kiongozi
wa Korea Kaskazini Kim Jong-un, vyombo vya habari nchini humo vimesema.
Taarifa kutoka wizara ya usalama nchini Korea Kusini imesema mawakala wa
kun… Read More
0 comments:
Post a Comment