Home »
Michezo
» #MICHEZO>>>>KESSY ATACHEZA DHIDI YA MAZEMBE? TFF IMETOA UFAFANUZI.Fahamu zaidi hapa.
Shirikisho la mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kupitia msemaji wake,
Alfred Lucas limesema kuwa, linashughulikia sakata la uhamisho wa
mchezaji Hassan Kessy Ramadhani kutoka Simba kwenda Yanga ili aweze
kucheza kwenye mchezo wa kimataifa kati ya Yanga dhidi ya TP Mazembe
unaotarajiwa kuchezwa siku ya Jumanne June 28 kwenye uwanja wa taifa.
“Tayari Yanga wameshaandika barua imekuja TFF wakiomba suala la Kessy
liweze kumalizwa haraka ili waweze kumtumia kwenye mchezo wao wa
Jumanne dhidi ya TP Mazembe,”amesema Alfred Lucas afisa habari wa
shirikisho la soka Tanzania.
“Niwahakikishie mashabiki wa Yanga kwamba TFF weekend yote hii kwa
maana ya leo Jumamosi na Jumapili tutalifanyia kazi hilo na tayari
mawasiliano yameshafanyika ili Yanga waanze kumtumia mchezaji huyu mara
baada ya mkataba wake kuisha.”
“Lakini kama kuna kikwazo chochote tunajaribu kufikiria ili Yanaga
wawe huru kusiwe na dosari yeyote kwenye michuano hii halafu sababu
ikawa ni kuwakosa wachezaji wake wote iliyowasajili kwa ajili ya
michuano hiyo.”
“Naamini kwa uungwana waliokuwa nao Simba kama kuna kikwazo
watakiondoa ili mchezaji huyo aendelee kipaji chake na maisha mengine
yaendelee.”
Kessy hakuruhusiwa kucheza kwenye mchezo wa kimataifa kati ya Yanga
dhidi ya MO Bejaia kwasababu kibali chake kutoka Simba kwenda Yanga
kilikuwa hakijathibishwa.
Related Posts:
MAYANGA ATANGAZA KIKOSI TIMU YA TAIFA, KESSY AREJEA STARS, KICHUYA, ABDI BANDA NDANI.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Kocha wa Taifa Stars, Salum Mayanga ametangaza kikosi chake kwa ajili ya mechi mbili za kirafiki.
Stars inaweza kucheza na kati ya Zambia na Rwanda au timu nyingine kwa kuwa kumekuwa na taarifa tofauti.
Lakini
kikosi … Read More
LEVERKUSEN YAJITUTUMUA, YAPATA SARE YA 0-0 UGENINI, LAKINI ATLETICO MADRID YASONGA ROBO FAINALI KWA 4-2.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Pamoja na Bayer Leverkusen kujitutumua
na kupata sare ya bila mabao dhidi ya Atletico jijini Madrid, lakini
imeishia njiani katika Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Atletico Madrid imesonga mbele kwa ushindi wa jumla wa mabao 4… Read More
TFF hali si shwari’, Mgogoro wafukuta.Fahamu zaidi hapa.
Hali si shwari ndani ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kumebainika kuwa mgogoro baina ya watendaji wa shirikisho hilo.
Habari za ndani zinaeleza, rais wa TFF, Jamal Malinzi amewekwa kiti moto
baada ya kudaiwa kuwabadi… Read More
Duh..Straika wa Zanaco Aliyefunga Goli la Kusawazisha Ametoa Kauli Hii Kuhusu Simba...!!!!.Fahamu zaidi hapa.
STRAIKA wa Zanaco ya Zambia, Kwame Attrams, raia wa Ghana, amesema anatamani siku moja kuja kukipiga Simba.
Attrams ndiye aliyeisawazishia Zanaco baada ya Yanga kutangulia kufunga
wakati walipotoka sare ya kufung… Read More
SHUTI MOJA LA NG’OLO KANTE, CHELSEA YAITWANGA MAN UNITED, YATINGA NUSU FAINALI FA CUP.FAHAMU ZAIDI HAPA.
CHELSEA (3-4-3): Courtois 6.5;
Azpilicueta 7, Luiz 6.5, Cahill 6.5, Moses 7 (Zouma, 89), Kante 9, Matic
7, Alonso 6.5, Willian 7.5 (Fabregas, 80), Costa 6 (Batshuayi, 90+2),
Hazard 8.5
Subs not used: Begovic,… Read More
0 comments:
Post a Comment