Home »
Habari Moto
» #Breaking News>>>Orodha Ya Majina Ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Na Kidato Cha Tano Na Vyuo Vya Ufundi Kwa Mwaka 2016.Fahamu zaidi hapa.

OR-TAMISEMI inawatangazia majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi kwa mwaka 2016.
Wanafunzi
waliochaguliwa ni kutoka shule za Serikali na zisizo za Serikali. Jumla
ya wanafunzi 65,720 wakiwemo wasichana 29,457 na wavulana 36,263
wamechaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi.
Kati
ya wanafunzi waliochaguliwa 34,064 wakiwemo wasichana 13,466 na
wavulana 20,598 sawa na asilimia 52 watajiunga na masomo ya Sayansi na
Hisabati; na wanafunzi 30,897 wakiwemo wasichana 15,445 na wavulana
15,452 sawa na asilimia 47 wamechaguliwa kusoma masomo ya Sanaa na
Biashara na wanafunzi 759 wakiwemo wasichana 220 na wavulana 539 sawa na
asilimia 1 wamechaguliwa kujiunga na vyuo vya Ufundi.
Wanafunzi
waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano mwaka 2016 wataanza muhula wa
kwanza tarehe 11 Julai, 2016 na hakutakuwa na mabadiliko yoyote ya
shule.
Wanafunzi
wote wanatakiwa kuripoti katika shule walizopangwa kwa wakati. Endapo
mwanafunzi atachelewa kuripoti hadi tarehe 24 ambayo ndiyo siku ya
mwisho ya kuripoti, nafasi yake itachukuliwa na mwanafunzi mwingine
aliyekosa nafasi.
Imetolewa na Katibu Mkuu,
OR-TAMISEMI
Tumia link hii kupata matokeo Waliochaguliwa kidato cha tano na vyuo vya ufundi 2016
Related Posts:
Kenya Kuajiri Madaktari Kutoka Tanzania..Kisa Mgomo wa Madaktari.Fahamu zaidi hapa.
KENYA: Mwenyekiti wa Baraza la Magavana, Peter Munya ametangaza kuwa
Serikali itaajiri madaktari kutoka Tanzania, Ethiopia na Cuba ndani ya
wiki 3 zijazo.
Madaktari hawa wa kigeni wataajiriwa ili kuchukua nafasi ya madak… Read More
Hatariii..Mzee Warioba Alipukia Serikali ya Magufuli Kuhusu Baa la Njaa..!!!.Fahamu zaidi hapa.
Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania Jaji Joseph Warioba amewataka watanzania
wote kuungana na kujiaandaa kukabiliana na baa la njaa ambalo huenda
likatokea, huku akikiri kuwa tatizo la upungufu wa chakula kwa mwaka
huu, ni … Read More
Godbless Lema Afanya Mkutano wa Kwanza Baada ya Kutoka Gerezani......Wema Sepetu naye Alipewa Nafasi ya Kuwasalimia Wananchi.Fahamu zaidi hapa.
Na,Vero Ignatus ,Arusha.
Mbunge wa
Arusha mjini Godbless Jonathan Lema amefanya mkutano wake wa kwanza
kwa kuzungumza na wananchi wa Arusha baada ya kutoka rumande
alipokuwa ameshikiliwa kwa miezi minne
Akizungumza kat… Read More
Upelelezi Kesi Ya Kamishna Mkuu Mstaafu wa TRA, Harry Kitilya na wenzake Wasubiri Ushahidi Kutoka Ulaya.Fahamu zaidi hapa.
Mahakama
ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelezwa kuwa upelelezi uliokuwa ukifanywa
ndani ya nchi ya Tanzania katika kesi ya uhujumu uchumi dhidi ya
Kamishna Mkuu Mstaafu wa TRA, Harry Kitilya na wenzake umekamilika.
Hayo
y… Read More
Mabadiliko ya CCM Kusomba Vigogo 11,Wamo Mawaziri,Wabunge na Makada Maarufu..!!!.Fahamu zaidi hapa.
Wakati mabadiliko ya katiba yatawaengua vigogo 11 katika uongozi wa CCM
walio na kofia zaidi ya moja, hatima ya idadi kama hiyo ya wanachama
wanaodaiwa kukisaliti chama hicho wakati wa Uchaguzi Mkuu uliopita,
itajulikan… Read More
0 comments:
Post a Comment