Home »
Michezo
» ETO’O AMEAMUA KUFUNGA NDOA NA MPENZI WAKE WA KITAMBO.Fahamu zaidi hapa.
Nyota wa Cameroon na soka la Afrika Samuel Eto’o aliyewahi kutamba na
vilabu maarufu vya Ulaya kama FC Barcelona, Inter Milan na Chelsea
amefunga pingu za maisha June 14.
Eto’o ameamua kufungia ndoa yake nchini Italy na mpenzi wake
waliyedumu kwa miaka mingi anayefahamika kwa jina la Georgette Tra Lou.
Related Posts:
UNA HOFU NA WAARABU WALIOPANGWA NA YANGA? MSOME KAMUSOKO HAPA.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Kiungo mkongwe wa Yanga, Thabani Kamusoko,
raia wa Zimbabwe, amesema kikosi chao hicho kitaweka historia kwa
kuitoa MC Alger ya Algeria na kutinga hatua ya makundi ya Kombe la
Shirikisho Afrika.
Yanga
imepangwa kuch… Read More
BUKOBA WAANZA HIVI MAANDALIZI YA KUIPOKEA SIMBA ITAKAPOTUA.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Wanachama wa Simba mkoani Kagera wameanza maandalizi ya kukipokea kikosi chao.
Simba itasafiri wikiendi hii kwenda Bukoba kwa ajili ya kuivaa Kagera Sugar katika mechi inayotarajiwa kuwa kali.
Wanachama wa Simba, taw… Read More
MADEIRA WAAMUA KUMPA RONALDO UWANJA WA NDEGE KWA KUWEKA JINA LAKE.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Ukiwa shujaa wenzetu wanakupa heshima na hiki ndicho kilichotokea kwa mshambuliaji nyota wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo.
Serikali
ya kisiwa cha mji wa Madeira nchini Ureno imeamua kubadili jina la
Uwanja wake wa Nd… Read More
Kauli ya TFF Baada ya Mwakyembe kupewa uwaziri wa Michezo.Fahamu zaidi hapa.
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limempongeza Mheshimiwa Dk.
Harrison Mwakyembe kwa kuteuliwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni,
Sanaa na Michezo.
Katika taarifa iliyotolewa leo kwa wana habari, imesema kuwa … Read More
ALIYEONEKANA KITASA TOTTENHAM APIGA HAT TRICK BRAZIL IKIITWANGA URUGUA 4-1 NA KUSOGEA KOMBE LA DUNIA.FAHAMU ZAIDI HAPA.
Paulinho
aliyeonekana ameshindwa kabisa akiichezea Tottenham ya England,
amefunga mabao matatu au hat trick na kuisaidia Brazil kuitwanga Uruguay
mabao 4-1 kwao.
Ushindi
huo umeifanya Brazil kufikisha pointi 30 ikiw… Read More
0 comments:
Post a Comment