Tunda Afichwa na Penzi la Mbunge Apangiwa Apartment.
BAADA ya Dishi Bovu kunasa ubuyu kwamba mwanadada, Tunda Sebastian kuwa
anatoka na mbunge mmoja hivi anayemiliki hoteli ya kifahari jijini Dar
na kumpangishia ‘apartment’ maeneo ya Tegeta, liliamua kutega antena
zake ili…Read More
Bill Nass Amuwezesha Uchebe Ili Kupambana na Nuh Mziwanda.
Msanii wa Bongo Fleva anayefanya vizuri katika game kwa sasa, Billnass
amemtaka mume wa msanii Shilole, Uchebe kupambana pale inapobidi ndiyo
maana ameamua kumzawadia vifaa vya mazoezi ili hata kupambana na Nuh
Mziwanda …Read More
Diamond Ashinda Tuzo ya Best Male MVP Nigeria.
Msanii wa muziki Bongo, Diamond Platnumz ameshinda tuzo kutoka Kituo cha Runinga cha Soundcity.
Muimbaji huyo ameshinda katika kipengele cha Best Male MVP ambapo
alikuwa akichuana na wasanii wengine kama Davido, RunTown, …Read More
0 comments:
Post a Comment