Yusuph Manji amechaguliwa kwa awamu nyingine kuwa mwenyekiti wa Timu ya Young Africans ‘Yanga’ pamoja na makamu wake Clement Sanga. Matokeo rasmi ya uchaguzi mkuu wa 2016 uliofanyika jana June 11 2016 katika ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es Salaam yametangazwa leo June 12 2016, ambapo Yusuph Manji na Clement Sanga ameibuka kidedea ambapo Manji kashinda kwa jumla ya kuraza ndio 1468, hapana 0 na kura zilizoharibika zilikuwa 2.
Monday, 13 June 2016
Home »
Burudani
» #MICHEZO>>>Yusuph Manji achaguliwa kwa mara nyingine kuingoza Yanga.Fahamu zaidi hapa.
#MICHEZO>>>Yusuph Manji achaguliwa kwa mara nyingine kuingoza Yanga.Fahamu zaidi hapa.
Related Posts:
Sakata la Diamond Kudaiwa Mil 400 na TRA lafika Hapa. Siku chache tangu Mbunge wa Jimbo la Mikumi Professa Jay kupaza sauti yake kuhusu makadirio makubwa ya kodi anayotakiwa kulipa Mwanamke anayewika nje na ndani ya nchi katika muziki wa bongo Flavor Diamond Pla… Read More
TANZIA: Dogo Mfaume Hatunaye Tena. Msanii wa muziki wa bongo fleva, Dogo Mfaume ambaye aliwahi kutamba na nyimbo kama 'Kazi Yangu Ya Dukani' amefariki dunia jana katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa akiendelea kupatiwa matibabu. Dogo Mfau… Read More
Rayvanny afunguka mema Sugu aliyomtendea.Msanii Rayvanny amesema Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ ni mtu ambaye ameshiriki kwa kiasi kikubwa katika video yake ya ‘Zezeta’ ambayo ipo mbioni kutoka. Rayvanny Rayvanny amesema Sugu ndiye alimpa idea … Read More
Jack Wolper Aongoza Mastaa Kwa Kuhongwa. ONFESSION! Staa mwenye umbo na muonekano wa ‘kokoro’, Jacqueline Wolper Massawe ‘Gambe’ amekiri kuwa hakuna msanii wa kike anayeongoza kwa kuhongwa vitu vya thamani na gharama kubwa zaidi yake, Ijumaa tunakutiririshia ay… Read More
Picha: Zari atua hospital kumjulia hali ex wake Ivan.Mama watoto wa Diamond, Zari the Bosslady ameonekana katika picha akimjulia hali ex wake Ivan Ssemwanga ambaye anadaiwa kulazwa katika hospitali moja nchini Afrika Kusini baada ya kupata matatizo ya moyo. Zari akiwa hospi… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment