Home »
Burudani
» #BURUDANI>>>>FIESTA Yarudisha Penzi la Shilole na Nuh Mziwanda.Fahamu zaidi hapa.
Wapenda Kunyapia nyapia Udaku wa Mastaa wa Bongo wameachwa njia panda
baada ya mastaa Nuh Mziwanda na Shilole kuanza tena kuwa karibu kwa
kupostiana kwenye page zao za mitandaoni, Wawili hao ambao siku za njuma
walikuwa wapenzi wa kupika na kupakuwa waliachana na kila mmoja
kuchukua hamsini zake lakini msimu huu wa Tamasha la Fiesta inasemekana
wamekuwa karibu kutoka na kuwa ni wamoja wapo katika watumbuizaji wa
Tamasha hilo huku wakisafiri mikoa mbali mbali kitu ambacho kimewaweka
karibu zaidi
Nuh Amepost Picha hii katika ukurasa wake wa Instagram:
Baada ya Muda Shilole naye Akajibu Mapigo kwa kuweka picha ambayo
inaonyesha alimpiga Nuhu Mziwanda wakiwa katika Chumba cha Hotel.....
Wajuzi wa Kunyapia nyapia Udaku Wanadai Picha hiyo aliyopost shilole na
kuiifuta inaujumbe mzito ndani yake , Kuwa inawezekana wawili hao huko
walipo kwenye Tamasha wanalala chumba kimoja....
Related Posts:
KUMBE MASANJA MKANDAMIZAJI UTAJIRI WAKE ANAUPATIA HUKU…VIJANA TUMUIGE.Fahamu zaidi hapa.
Msanii wa kundi la Orijino Komedi, Masanja Mkandamizaji ameshare picha
kadhaa kwa mashabiki wake wa kwenye mitandao ya kijamii kuonyesha jinsi
anavyowajibika akiwa shambani kwake.
Mchekeshaji huyo ambaye pia ni mjasiri… Read More
Picha: Kim Kardashian arudi tena na picha za utupu kwenye Cover la jarida la GQ (18+).Fahamu zaidi hapa.Kim Kardashian amerudi tena na picha za utupu
kwenye cover la toleo jipya la jarida namba moja la mitindo, jarida la
GQ, toleo hili limepewa jina la “Love, Sex, and Madness”
Hii ni mara ya kwanza Mama… Read More
Huu ni uthibitisho kutoka kwa Babu Tale kuwa Chidy Benz kajiunga Rasmi WCB..Fahamu zaidi hapa.Inawezekana sana kuwa Chidi Benz amejiunga rasmi na lebo ya WCB, hii inatokana na Meneja wa Babu Tale kuandika Maneno yanayothibitisha kuwa Chidy Benzi sasa yuko kwenye himaya hii yenye nguvu katika Muziki wa Tanzania.
&nb… Read More
Aslay na Ruby wasema kuwa hawana uhusiano, wadai ilikuwa kiki tu.Fahamu zaidi hapa.Aslay na Ruby ameibuka kutolea ufafanuzi tetesi zilizoibuka za kuwa wana uhusiano wa kimapenzi.
Tetesi hizo zilianza baada ya wenyewe kuanza kupostiana na caption za
utata zilizopelekea mashabiki kuamini wawili hao wa… Read More
Kuna collabo ya Vanessa Mdee, Patoranking na Dj Maphorisa inakuja.Fahamu zaidi hapa.Tanzania meets Nigeria meets SA. Vanessa Mdee, Patoranking na Dj Maphorisa wanatarajia kuachia wimbo wao wa pamoja.
Vee Money ambaye kwa sasa yupo Kenya, ameiambia Bongo5 kuwa wimbo huo utatoka hivi karibuni.
Alishare pi… Read More
0 comments:
Post a Comment