Kipindi cha Nyuma Linah sanga aliingia Bifu zito baada ya Kuibiwa Bwana na Wema Sepetu ambapo alilalamika sana kwenye vyombo vya habari hasa Radioni... Hivi karibuni Linah na Mpenzi wa Wema Sepetu Idriss Sultan wanaonekana kuwa na ukaribu usio wa kawaida kiasa kwamba inasemekati eti ni wapenzi wanapika na kupakuwa kitendo ambacho kinaonyesha ni kama kulipa kisasi kwa Wema....!! Haya Tuache Movie liendeleeee tutawajuza zaidi kinachoendelea....
Saturday, 10 September 2016
Home »
Burudani
» #BURUDANI>>>Mwimbaji Linah Amnyakuwa Idriss Sultan Kutoka Kwa Wema Sepetu...Yadaiwa Amelipiza Kisasi.Fahamu zaidi hapa.
#BURUDANI>>>Mwimbaji Linah Amnyakuwa Idriss Sultan Kutoka Kwa Wema Sepetu...Yadaiwa Amelipiza Kisasi.Fahamu zaidi hapa.
Related Posts:
Q Chief Atoa Siri ya Wasanii Kutoacha 'Ngada'.Fahamu zaidi hapa. Msanii Q Chief amefunguka na kusema kuwa baadhi ya wasanii kushindwa kuachana na matumizi ya dawa za kulevya ni kutokana na wao wenyewe kutokubaliana na hali hiyo kutokana moyoni mwao. Q Chief pia ametoa lawama kwa baadh… Read More
VIDEO ya Wimbo Muziki ya Darassa Yaweka Rekodi Nyingine YouTube.Fahamu zaidi hapa. Rapper Darassa ameendelea kuweka rekodi mpya katika muziki wake kupitia video yake ya wimbo Muziki ikiwa ni siku 28 toka kazi hiyo iwekwe katika mtandao wa YouTube. Wimbo huo umemfanya Darassa kuwa juu zaidi katika muzik… Read More
MENEJA wa Diamond Aelezea Zilipofikia Collabo za Diamond na Rick Ross na Rihanna.Fahamu zaidi hapa. Hivi karibuni wakati anahojiwa kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM, Diamond alitease ujio wa ngoma ambazo amewashikirisha wanamuziki heavyweight wa Marekani, Rick Ross na Rihanna. Jumatano hii kupitia kipindi cha Campus… Read More
MAHAKAMA YA UGANDA YATOA HATI YA KUKAMATWA WIZKID.FAHAMU ZAIDI HAPA. Wizkid anakabiliwa na kifungo cha miaka 11 jela, baada ya mahakama ya Uganda kutoa hati ya kukamatwa kwake na meneja wake, Sunday Aare. Wizkid alishindwa kutokea kwenye show iliyokuwa ifanyike December 3 mwaka huu mjin… Read More
HAMADAI adai alitongozwa na Shilole, aeleza sababu ya kuachana naye.Fahamu zaidi hapa. Mpenzi wa zamani wa Shilole, Hamadai amefunguka na kueleza jinsi alivyokutana na Shilole na kuanza mahusiano. Muimbaji huyo mchanga wa bongofleva alifahamika mara baada ya kuwa katika mahusioano na Shilole. Akiongea katik… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment