Kipindi cha Nyuma Linah sanga aliingia Bifu zito baada ya Kuibiwa Bwana na Wema Sepetu ambapo alilalamika sana kwenye vyombo vya habari hasa Radioni... Hivi karibuni Linah na Mpenzi wa Wema Sepetu Idriss Sultan wanaonekana kuwa na ukaribu usio wa kawaida kiasa kwamba inasemekati eti ni wapenzi wanapika na kupakuwa kitendo ambacho kinaonyesha ni kama kulipa kisasi kwa Wema....!! Haya Tuache Movie liendeleeee tutawajuza zaidi kinachoendelea....
Saturday, 10 September 2016
Home »
Burudani
» #BURUDANI>>>Mwimbaji Linah Amnyakuwa Idriss Sultan Kutoka Kwa Wema Sepetu...Yadaiwa Amelipiza Kisasi.Fahamu zaidi hapa.
#BURUDANI>>>Mwimbaji Linah Amnyakuwa Idriss Sultan Kutoka Kwa Wema Sepetu...Yadaiwa Amelipiza Kisasi.Fahamu zaidi hapa.
Related Posts:
#BURUDANI>>>>Video ya Wema Sepetu Akipeana Mate na Calisah Kitandani Yavuja..Itazame Hapa. Video imevuja ya mwadada Sepenga akifanya yake ,juzi kati alihojiwa juu ya mahusiano yake na Calisah alimkana akasema ni rafiki na hawajawahi fanya lolote, sasa leo Video imevuja huko instagram kila page inatembea anakis… Read More
#BURUDANI>>>>Alikiba Afunguka Kuhusu Ugomvi wake na Hakeem 5.Fahamu zaidi hapa. Stori hii ilianza baada ya Abby Skills kusema Hakeem 5 lazima amuombe msamaha Ali Kiba ili wafanye kazi tena na mambo yake yaende sawa. Ali Kiba alisema “Kuhusu Hakeem 5, naweza kusema kwanza ni ndugu yangu kama Abby Ski… Read More
Download wimbo mpya wa Yamoto Band ft Lij Michael unaoitwa "Konjo". Download wimbo wa Yamoto Band ft Lij Michael -Konjo. Download Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi Bonyeza Hapa CLICK HERE <<<<DOWNLOAD APP… Read More
#BURUDANI>>>>TID Aituhumu Clouds FM Kuuza wimbo ‘Zeze’ Marekani Bila Makubaliano (Video). Msanii mkongwe wa muziki Khalid Mohamed aka TID ameingia kwenye mgogoro na kituo cha redio cha Clouds FM baada ya kukituhumu kituo hicho kimejiingizia fedha kwa kuhadaa wao ndio waliotayarisha wimbo wa Zeze. Muimbaji huy… Read More
#YALIYOJIRI>>>>Martin Kadinda Afunguka Asema Wema Sepetu Anaangushwa na Marafiki zake.Fahamu zaidi hapa. Mbunifu wa mavazi kutoka Bongo, Martini Kadinda amesema hawezi kumchagulia Wema Sepetu marafiki wa kuwa nao karibu na hawezi kujiingiza kwa lolote katika ugomvi wao. Akipiga story ndani ya eNewz, Kadinda amesema ugomvi a… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment