TFF Yaanika Viingilio Mechi ya Tanzania Dhidi ya NIigeria.
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeweka wazi viingilio vya
mchezo wa marejeano kuwania kufuzu fainali za Kombe la Dunia dhidi ya
Nigeria itakayopigwa, Jumapili Oktoba mosi, mwaka huu.
Mashabiki wataingia kwe…Read More
Ujumbe wa Ancelotti Baada ya Kufukuzwa.
Baada ya kufutwa kazi aliyekuwa kocha wa Bayern Munich Carlo Ancelotti
ameishukuru bodi ya timu hiyo kwa kumwamini pamoja na ushirikiano
waliompa katika kipindi chote alichofundisha timu hiyo.
Kupitia ukurasa wake wa Ins…Read More
Yanga Kumkosa Tshishimbi Mechi ya Kesho.
Klabu ya Yanga imeeleza kuwa imejiandaa vyema kuelekea mchezo wa ligi
kuu ya soka Tanznaia Bara kesho dhidi ya Mtibwa Sugar kwenye uwanja wa
Uhuru jijini Dar es salaam.
Akiongea na Wanahabari leo kwenye makao makuu ya kl…Read More
0 comments:
Post a Comment