HARMONIZE Ataja Mkwanja Anaoingiza Youtube kwa Mwezi.
Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva kutoka lebo ya WCB, Harmonize ameweka
wazi kiasi cha pesa anachoingiza kupitia mtandao wa Youtube kwa Mwezi .
Harmonize amesema watu wanashangaa kuona anatembelea magari ya kifahar…Read More
VANESSA Mdee Alalamika Kuchafuliwa na Afande Sele.
Muda mfupi baada ya msanii wa kitambo kwenye muziki wa kizazi kipya
Bongo, Afande Sele kusikika kwenye kituo kimoja cha redio akitoa maneno
ya kuudhi kwa wasanii Vanessa Mdee ‘Vee Money’ na Man Fongo, mwanadada
huyo ames…Read More
TUNDA Aanika Kila Kitu Juu ya Mahusiano Yake Na Young D.
VIDEO queen matata Bongo, Tunda Sebasita ‘Tunda’ hivi karibuni ameibuka
na kumkana aliyewahi kuwa mpenzi wake David Ganzi ‘Young D’ kuwa si
mwanaume hasa aliyewahi kutamani kuwa naye huko nyuma na juu ya uhusiano
wao ni…Read More
0 comments:
Post a Comment