Monday 20 February 2017

Jokate akutana na Mastaa Jay Z na Beyonce nchini Marekani.Fahamu zaidi hapa.

Asubuhi ya leo, mrembo Jokate Mwegelo kutoka nchini Tanzania amepokea pongezi kutoka kwa watu mbalimbali baada ya kuchapisha picha kwenye kurasa zake za Insagram na Twitter akiwa pamoja na wanamuziki maarufu duniani.
Jokate ameweka picha yake aliyopigwa akiwa pamoja na Jay Z na Beyonce pamoja na mtoto wao, Blue Ivy Carter wakati wa mchezo wa mpira wa kikapu nchini Marekani.
 
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Jokate ameandika ujumbe alioambatanisha na picha hiyo akionyesha furaha yake baada ya kukutana na ‘mastaa’ hao wakubwa duniani.
 
“So NBA Africa took me courtside and I haaaaaaad to say hello to the Carters. OMG 😭😭😭😭. @beyonce is super cute and I can’t believe she shook my hand and was like nice to meet you. 😍😍🤗🤗. I was like wait I need a picture, I came all the way from Tanzania for this B 😕. She’s so sweeeeeet and I’m so lucky lmao. Thank you @beylite @balleralert for this pic I couldn’t snap one as I was shocked and still in disbelief. 😳 #Beyonce #Beylite #NBAAfricaGame#NBAAllStar #Kidoti 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿” aliandika Jokate.


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa

0 comments:

Post a Comment