Friday 24 February 2017

TASWIRA MANCHESTER CITY WAKIJIFUA BAADA YA KUJICHIMBIA ABU DHABI.Fahamu zaidi hapa.

Baada ya mchezo wao dhidi ya Manchester United kuahirishwa, Man City wameona ni nafasi nzuri ya kufanya mazoezi nje ya England.


Sasa wamejichimbia Abu Dhabi ambako watakuwa wakifanya mazoezi kujiandaa dhidi ya Monaco. Pia mechi yao ya Kombe la FA dhidi ya Huddersfield, itakayopigwa wiki ijayo.
Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa


0 comments:

Post a Comment