Friday 24 February 2017

MAKONDA AJIBU MADAI YAKUTUMIA CHETI CHA MTU MWINGINE.Fahamu zaidi hapa.

RC Makonda asema hawezi zungumzia suala la cheti chake cha kidato cha nne sababu ni habari za kwenye mitandao ambapo kuna maswali na majibu.


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa


0 comments:

Post a Comment