Monday 27 February 2017

Mwanamuziki Barnaba Apata Pumziko Jingine Baada ya Kuachana na Mkewe.Fahamu zaidi hapa.

Haya sasa Barnabas Naye ameanza taratibu kutuonyesha MTU wake ama Nene? Kama wengi mjuavyo Mwanamuziki Barnaba alizenguana na mkewe na kuachana ambapo aliyekuwa mkewe Siku ya Valentine day alionyesha ulimwengu kuwa AME move on kwa picha iliyosambaa akiwa na mwanaume mwingine..

Sasa Barnaba na yeye amekuja na kupost picha akiwa na msichana mwingine huku akituachia kitendawili...
.

#Repost #barnabaclassic
・・・
Pale Crush brother anapokutaka na crushe sister #iam_just_rakel 😘🌺🔥🗽☀️ Doll metalick Moshi Moshi -Classic Yuko Njiani Jesus is my Power 😊☕️Asante mzazi #@Regrann from @crazyvoicess - Follow @crazyvoicess (me) for more videos like this! ❤😄
Amazing 😍
Tag a friend 👇
🎤
#crazyvoicess #amazing #vocals

Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa


0 comments:

Post a Comment