Friday 24 February 2017

LEICESTER CITY YAMTIMUA KAZI RANIERI, NI SIKU 298 BAADA YA KUIPA UBINGWA.Fahamu zaidi hapa.

Leicester City imemtimua kazi kocha wake Claudio Ranieri.


Ranieri ametimuliwa kazi ya kuinoa Leicester ikiwa ni siku 298 na saa kadhaa baada ya kuipa ubingwa wa England.

Ranieri raia wa Italia ametimuliwa siku moja na usher tokea kikosi chake kichapwe mabao 2-1 katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kikiwa ugenini Hispania dhidi ya Sevilla.

Uongozi wa Leicester City umeuita uamuzi huo ni wenye “maumumovu” na sasa msaidizi wake, Craig Shakespeare na kocha mkuu wa timu ya akiba Coach Mike Stowell ndiyo wamekabidhiwa jahazi.


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa


0 comments:

Post a Comment