Monday 27 February 2017

NDANI YA DAKIKA 19, MADRID WAPIGA MABAO MATATU NA KUYAANGUSHA MANYAMBIZI 3-2 LA LIGA.FAHAMU ZAIDI HAPA.

Real Madrid ililazimika kupigana kijeshi na kufunga mabao matatu ndani ya dakina 19 ili kuepuka kipigo kutoka kwa Manyambizi wa Villarreal.

Tayari walikuwa nyumba kwa mabao 2-0, hali ambayo ilitishia “maisha” yao ndani ya La Liga. Mwisho wakashinda kwa mabao 3-2.

Wakalazimika kufanya kazi ya ziada na kufunga mabao hayo matatu kupitia kwa Gareth Bale, Cristiano Ronaldo na Alvaro Morata na haikuwa kazi rahisi. Cheki pichaaaaz


Download  Application ya Hebron Malele Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi>>>>Bonyeza Hapa

                            Follow me instagram>>>Bonyeza Hapa


0 comments:

Post a Comment