Home »
Michezo
» #MICHEZO>>>WENGER AMTEGA OZIL KWA PAUN 60000.Fahamu zaidi hapa.
Kiungo
mshambuliaji kutoka nchini Ujerumani na klabu ya Arsenal ya England,
Mesut Mustafa Ozil, yu mbioni kusaini mkataba mpya ambao utamuwezesha
kulipwa mshahara wa Pauni laki mbili (200,000) kwa juma.
Meneja
wa Arsenal, Arsene Wenger ana matumaini makubwa ya kukamilishwa kwa
dili hilo, kutokana na fununu zinazoendelea kumuhusu Ozil kuhitajika
kwenye klabu nguli za barani Ulaya kama Juventus pamoja na FC Bayern
Munich.
0 comments:
Post a Comment