Saturday 11 June 2016

#BURUDANI>>>>Hivi ndivyo alivyojibu Diamond Platnumz kuhusu Kupandishwa kwa kodi za namba binafsi kwenye magari bongo.Fahamu zaidi hapa.

Msanii wa Bongo Flava Nasib Abdul a.k.a Diamond Platnumz amesema anaunga mkono kitendo cha serikali kutangaza kwamba kwa watu wanaotumia plate number za majina yao watatozwa milioni 10 kama kodi kutoka 5 kuanzia mwaka wa fedha 2016 & 2017.

Kufuatia hotuba ya serikali kuonyesha hivyo kipindi cha EADRIVE kinachorushwa na EA Radio kimeongea na msanii Diamond Platnumz kuhusu mkakati huo ikiwa yeye ni mmoja wa wanaolengwa na jambo hilo.

Diamond anasema ‘Kama serikali itatumia fedha hizo kusaidia watu wa hali ya chini mimi naona sawa tuu’’

0 comments:

Post a Comment