Rais Wa Gambia Akubali Kuachia Madaraka.Fahamu zaidi hapa.
Yahya
Jammeh ambaye amekua madarakani na kuingoza Gambia kama Rais kwa miaka
22 hatimae amekubali kuachia madaraka hayo na sasa Adama Barrow
aliyetangazwa mshindi kwenye uchaguzi mkuu ndio anatarajiwa kuchukua
nafasi.
…Read More
0 comments:
Post a Comment