Home »
Habari Moto
» Jionee list ya Top 10 ya meli za gharama zaidi Duniani.Fahamu zaidi hapa.
Najua kuna watu wanafuatilia vitu mbalimbali na gharama zake, naomba
nikusogezee TOP 10 ya meli za gharama zaidi duniani, katika list hii
namba mbili imeshikwa na meli ya Harmony of the seas ambayo ni meli kubwa ya abiria kwa sasa duniani na imezinduliwa miezi kadhaa tu iliyopita.
Namba moja imeshikwa na meli ya Allure of the Seas na safari yake ya kwanza ilifanyika miaka sita iliyopita Allure of the Seas ndio ilikuwa meli kubwa duniani kabla ya meli ya Harmony of the seas kuwepo.
10. Norwegian Breakaway ($840 million)
9. Disney Dream ($900 million)
8. Norwegian Escape ($920 million)
7. Quantum of the Seas ($935 million)
6. Anthem of the Seas ($940 million)
5. Disney Fantasy ($950 million)
4. Norwegian Epic ($1.2 billion)
3. Oasis of the Seas ($1.3 billion)
2. Harmony of the Seas ($1.35 billion)
1. Allure of the Seas ($1.43 billion)
Related Posts:
#YALIYOJIRI>>>>Waliompiga Daktari Mkoani Mtwara Wakamatwa Wakijiandaa Kutoroka Kwenda Nje ya Nchi.Fahamu zaidi hapa.
Kufuatia
tukio la ndugu wa mgonjwa kumpiga Daktari Mkoani Mtwara, tayari jeshi
la Polisi Mkoani humo linawashikilia watu kadhaa kwa kitendo hicho cha
kumpiga Daktari wakati akiwa katika majukumu yake ya kikazi.
… Read More
#YALIYOJIRI>>>Waziri wa Ujenzi Prof. Mbarawa afanya ziara ya kushtukiza KOJ Kurasini.Fahamu zaidi hapa.
Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa amemuagiza
Kaimu Meneja Msaidizi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) Nelson Mlali
kufanya uhakiki wa kampuni zinazotoa huduma mbalimbali bandarini ili
kub… Read More
#YALIYOJIRI>>> Waziri wa Mambo ya nje, Balozi Mahiga Asema Serikali imesikitishwa na Kusitishwa kwa Msaada wa Mabilioni ya Marekani.Fahamu zaidi hapa.
Serikali
imeeleza kusikitishwa na uamuzi wa Marekani kusitisha uhusiano katika
Shirika la Changamoto za Milenia (MCC), bila kuishirikisha wala
kuisikiliza.
Kadhalika,
imesema hakuna umuhimu wa misaada ya afya na … Read More
Profesa Jay Afunguka Kuhusu Chid Benz.Fahamu zaidi hapa.
Mbunge wa Mikumi kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(Chadema), Joseph Haule ‘Profesa Jay’ (pichani) amesema hali ya Mbongo
Fleva, Rashid Abdallah Makwiro (31) ‘Chid Benz’ ni matokeo ya matumizi
yaliyobebea ya… Read More
Mwimbaji Rose Mhando Ashtakiwa Kwa Waziri Nape Juu ya Utapeli Anaofanya.Fahamu zaidi hapa.
Msanii
wa nyimbo za injili nchini, Rose Mhando, ameshtakiwa kwa Waziri wa
Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo, Nape Nnauye, kwa kitendo cha
utapeli na kushindwa kutekeleza mkataba wa kuhudhuria na kutumbuiza
kwenye T… Read More
0 comments:
Post a Comment