Monday, 12 September 2016
#MICHEZO>>>>PAWASA- OMOG ANAKOSEA KUWACHEZESHA AJIB NA MAVUGO.FAHAMU ZAIDI HAPA.
“Kwa mfumo anaoutumia Omog, hana budi kuwachezesha Ajib na yule Muivory Coast (Frederic Blagnon) au Mavugo na huyo jamaa (Blagnon) kwani yeye nimemuona ndiye anaweza kucheza kama mshambuliaji wa mwisho tofauti na hao wengine.
Related Posts:
#MICHEZO>>>Mamilioni ya Simba na Yanga yashikiliwa Selcom.Fahamu zaidi hapa. KAMPUNI ya Selcom Tanzania Limited inashikilia zaidi ya Sh. Milioni 130 za mapato ya mchezo wa watani wa jadi Simba na Yanga katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Oktoba 1, mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. H… Read More
KASEJA, BOBAN KUIBUKIA KANDANDA DAY, YUMO GEIRGE MASATU.FAHAMU ZAIDI HAPA. Katika kunogesha tamasha la Kandanda Day,wachezaji wanaounda kikosi cha Dar City FC,wanatarajia kushuka katika dimba la uwanja wa Jakaya M Kikwete Park,Kidogo Chekundu,Jumamosi wiki hii. Kiongozi wa timu hiyo,… Read More
#MICHEZO>>>>BAADA YA KUFUNGA BAO CHIRWA AAMINI ATAENDELEA KUFANYA VIZURI.FAHAMU ZAIDI HAPA. Baada ya kuziona nyavu kwa kuifungia Yanga bao, Obey Chirwa amesema anaamini ataendelea kufanya vizuri. Chirwa raia wa Zambia amekuwa katika wakati mgumu hadi alipofunga bao wakati Yanga ikiivaa Mtibwa Sugar na kuitwa… Read More
#MICHEZO>>>> Breaking News: Manji Ajitoa Yanga Rasmi.Fahamu zaidi hapa.MWENYEKITI wa Yanga, Yusuf Manji, amesitisha kuendelea na zoezi la kuikodisha timu na nembo ya klabu hiyo na kuwaambia wasaidizi wake, wasitishe mipango yote ya maendeleo waliyokuwa wameanza kuifanya. Manji amewaambia was… Read More
#MICHEZO>>>>>TONI KROOS AAMUA KUSTAAFU SOKA AKIWA REAL MADRID.FAHAMU ZAIDI HAPA. Kiungo Mjerumani, Toni Kroos ameamua kustaafu soka akiwana Real Madrid. Toni Kroos ameongeza mkataba mrefu ambao utaisha mwaka 2022 akiwa bado na Real Madrid. Kwa sasa ana umri wa miaka 26, hadi miaka saba ija… Read More
RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment