Thursday 29 December 2016

#BREAKING NEWS>>>>BASI LA ABIRIA LAPATA AJALI SINGIDA MUDA HUU.FAHAMU ZAIDI HAPA.

zinasemekana kwamba watu watatu wamefariki dunia  akiwemo Dereva wa bus hilo


Katika maelezo niliyo yapata mke wa Dereva nae alikuwa ndani ya hilo bus ila yey kasalimika.

Lakini amemlilia mume wake mno baada ya kujua amefariki.


Download  Application ya Hebron Male Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi


Bonyeza Hapa CLICK HERE

                              Follow me instagram 

 

0 comments:

Post a Comment