Thursday 22 December 2016

GAZETI la Guardian la UK Latoa Nyimbo Kumi Bora za Africa Mwaka 2016, Mtanzania Ashika Nafasi ya 2.Fahamu zaidi hapa.

Gazeti ya the guardian la uingereza litemtoa nyimbo kali za mwaka 2016 zilizotikisa africa.
Katika orodha hiyo tanzania imebahatika kuingia nyimbo 1 tena ikishika nafasi ya 2,
Diamond platnumz kupitia wimbo wake wa salome amefanikiwa kushika nafasi ya 2 huku, nafasi ya kwanza ikienda nigeria kwa kuchukuliwa na msanii Tekno na wimbo wake wa Pana

Orodha kamili
1. Pana -- tekno
2. Salome -- diamond ft rayvany
3. Hollup -- mr eazi ft joey B and danny krame
4. No kissing baby --- patoranking ft sarkodie
5. Wololo --- babe wodumo ft mampintsha
6. Dance for mr --- eugy ft mr. Eazi
7. Ngudu --- kwesta ft cassper nyovest
8. Koffi anan --- yemi alade
9. Soweto baby ----- dj mophorisa ft wizkid
10. Uncondionational bae --- sauti sol ft alikiba

Download  Application ya Hebron Male Blog Kwenye Simu yako Kusoma Habari Zetu Kwa Urahisi


Bonyeza Hapa CLICK HERE

                              Follow me instagram 

 

0 comments:

Post a Comment